Mnyilinga picha studio 2022   

NA ELIUD NOVAT MNYLINGA 

2022


Katika mfumo wa maisha kila MTU ana future yake ambayo mimi kama eliud novat mnyilinga ambae Nina tarajia kusoma masomo ya IT INTERNET kutokana na kuwa Na msukumo wa ki asilia wa kupenda Sana Mambo yanayohusiana Na computer system technology Na kadhawakadha   Nina vitu vingi vyangu Ni kama. future ya baadae katika maisha ya hapa Duniani. Nitaeleza kiundani katika ukurasa mwingin e .+++++++±±
Mnyilinga eliud

    Happy New year ni 2022 hii hapa tena tunazidi Buchanan mbuga na kasi ya 4G kama siyo 5G kabisa. 
Ahsante mungu

Kama kawaida lengo letu sisi ni kuonesha jamii kuwa kila ki2 hapa duniani kinawezekana bila shaka kabisa 


Mnyilinga photos studio tunazidi kukuletea mambo mbalimbali yanayohusu ucholaji etc
  2343
Imechorwa ndani ya DK40 tu hii picha ya pesa nikiwa KIKUYUVILLAGE mpwapwa huko mkoani dodoma ni picha ambayo hata nilipo kuwa naichora sikuwa na malengo nayo wala sikuwa nimedhamilia kwaajili ya kuchora picha hii ila baadae nilikuja kujua picha hii ni ajabu ya mfumo wake kama uionavyo. hapo hakuna EDITING yeyote au athari za yoyote au athari za kifaa zaidi ya kalamu penseli na rangi za penseli 
                Ukweli picha hii sikuwahi kujua kuwa ina uzuli kiasi gan kwanza ni kama vile naweza katika commed na matumizi mengine kwa kanuni na mashart ya nchi na sheria pia kiujula any way wewe msomaji unae soma makala sasa unaweza kutoa maoni yako kuhusu hii picha hapo juu mungu. akubariki asante kwa kusoma ukurasa huu
Kutoka MNYLINGA PICHA STUDIO  

ENM STUDIO 


UNAWEZA KU COMMENT KUHUSU PICHA HII



Sawa tena huyu ni eliud novat 
Basii kama kawaida tunazidi kuufyka mwaka 2022 na sasa nikiwa zangu DSM tanzania ninayo fulaha sana kuwa hai katika mwaka huu 2022 ambao naamini ni mwaka mzuli kwetu sote namshukuru sana mwenyezi mungu kwa kuwa najua nilipo bila yeye nisinge kuwepo kabisa. 
            Tunazidi kuangazia kuhusu mambo ya PHOTOGRAPH/ucholaji 
               Tazama picha hii chini

Kama uionavyo picha hii hapo ni picha ambayo ukweli imechorwa kwa muda mrefu sana na mpaka sasa picha hii haijakamilika iko asilimia 70% kukamilika namaanisha kuna asilimia 30% zilizobaki ili picha hii umekamilishwa mpaka leo talehe 07-01-2022. Ikiwa nimeanza kuichora mnamo talehe 08-07-2021. Lakini unaweza ukashangazwa na muda ambao umetumika kuchora hii picha ukwerli

kutokana na majukumu mbalimbali ya kiuchumi na upambanaji mwingine nilikuwa natumia kwa siku kidogo sana kufanya kazi hii ya kuchora picha hii ilae nilikuja kusitisha zoezi hili kwa zaidi ya miezi 6 kutokana na changamoto chache. Ambazo ilikuwa sio lahisi mimi kutumia muda wangu kuichora picha nilianza kuchora picha hii nikiwa sehemu au ardhi tofauti tofauti zidi kama vile nilianza 2020 nikiwa DODOMA tanzania. Baadae nilikuja kuendea nikiwa DAR ES SALAAM na tena baadae nilikuja kwenda nyumbani huko MPWAPWA mkoani dodoma mpaka kwa kanda za juu kusini nikimaanisha IRINGA NJOMBE. MBEYA huko ndiko asili yangu na pia nilizaliwa huko 
Utapata pia history ya maisha yangu kiundani endeleafuata page mbalimbali zinazo fika MNYILINGA PHOTOS STUDIO 
kwa sasa ikiwa picha hii bado haijakamilika katika asilimia 70=% nikiwa tena jijini dar es salaam sija fahamu hasa nitaweza kukamilisha lini kwa sababu zile zile za kukosa muda wa kukamilisha kazi hii. 

Kikubwa ni namuomba tuu mungu azidi kutupa muda mwingi wa kuishi katika dunia hii naamini mungu yuko nasi wakati wote katika maisha yetu ya kila siku.

Ramani ya kijiji nilicho zaliwa

KIJIJI CHA KIKUYU 
Siku nyingi sana picha hii imechorwa nikiwa huko kijini KIKUYU VILLAGE 
      Ni muda mchache tu nilitumia kuchora lamani hii ya kijiji chetu cha kikuyu ukweli mimi nilivuta tu taswira jinsi kijiji chetu cha kikuyu kilivo ndipo nikachora lamani hii so ni lazima kuwe na makosa hii lamani japokiwa naamini lamani hii imekamilika bila makosa kwa asilimia 80% zote. kuwa najua kwa makadilio yangu kitaalamu ni asilimia 20% tuu niliyo kosea katika uchoraji wa hii lamani kosa kubwa sana nililo fanya kwa zaidi ya asilimia 14% ni katika vipimo
vya lamani mimi nilitumia vipimo vya akili zangu tu na wala sio vipimo vya kitaalamu zaidi. Lakini namshukuru mungu zaidi kwa kuwa hizo asilimia 80% zote nimezifanikisha kwaajili ya neema zake ahsante pia wewe msomaji kwa kusoma kipande hiki TAFADHARI naomba support zenu za ku comment ili nijue makosa YANGU. Na kuni follow au ku subscribe . Asanteni sana. Na .....67

# Mnyilinga picha studio 


        0684 8695 90          


Mnyilingaeliud@gmail.com

Facebook 
eliud novat mnyilinga 

YouTube 
TV ya ENM

           < Group Facebook >
https://www.facebook.com/groups/710157623491607/permalink/715984052908964/?app=fbl

           <Kikundi cha WhatsApp>

https://chat.whatsapp.com/LGvxlS8CCMl7xvhkbt3doE

.........................................

Alright once again this is eliud novat 
NaNamshukuru tena mungu tunazidi kusonga mbele na maisha yetu kama kawaida ...basi leo bana kunamtu alikuwa anafanya jalibio la kuingia katika acaunt yangu ya Facebook. Ambayo naweza kusema ni accaunt ambayo nilikuwa naitumia sana lakini mamlaka ya ulinzi ilifanya kazi yake akaunti yangu ili kufungwa sana ili kumzuia huyo mdukuzi (HACKER) ambae alitaka kuingia.
 Katika akaunti yangu mimi kwa siku hii ya leo nitazungumzia sana kuhusu HACKERS 
         Hii kitu inanipa ushawishi mkubwa sana wa mimi kusoma COMPUTER TECHNOLOGY nikijue kila kitu ambacho kinahusiana na mambo ya COMPUTER. 
               AKAUNTI YANGU IMEFUNGWA
si kwamba nimeshidwa kuifungua hii acaunt yangu lakini kuna tatizo kidogo katka mfumo wangu kwenye gmail za simu kuna mtu alikuwa anaitumia simu yangu akaunga account yake mwenyewe ya gmail then akaweka password ambayo anadai kaisahau kwa sasa pia namba ya simu iliyotumika kuunga gmail ilisha potea sasa hapa inakuwa. ni changamoto kidogo 

Any way nitalifanyia kazi hili siara na kusaidia akaunti yangu masomo kazi fresh kabisa najua ni ngumu sana lakini itakuwa sawa tuu leo ​​ni talehe 08-01-2021

Kwa sasa sina account official ambayo kazi 2678922



NEW
PAGE 

Katika maisha ya mwanadamu kila MTU ana future yake ambayo mimi kama kijana familia ya MNYLINGA FAMILY.   

Katika mfumo wa maisha kila MTU ana future yake ambayo mimi kama eliud novat mnyilinga ambae Nina tarajia kusoma masomo ya IT INTERNET kutokana na kuwa Na msukumo wa ki asilia wa kupenda Sana Mambo yanayohusiana Na computer system technology Na kadhawakadha    Nina vitu vingi vyangu Ni kama.  future ya baadae katika maisha ya hapa Duniani.  Nitaeleza kiundani katika ukurasa mwingine .+++++++±±
Mnyilinga eliud

    Happy New year ni 2022 hii hapa tena tunazidi Buchanan mbuga na kasi ya 4G kama siyo 5G kabisa. 
Ahsante mungu

PICHA 45654
NEW logo kila siku najitahidi kutengeneza LOGO mbalimbali zakitaalamu na muundo tofauti hizi ni simple LOGO lakini so mlefu ni  muda LOGO zenye movement au MOTION.  Najua wewe msomaji wa machapisho haya kutoka MNYLINGA PHOTOS STUDIO utafulahi kuona aina hizi za LOGO ambazo.  Hata wewe unaweza kupata kwa kupitia simu yako piga namba  0684 8685 90 
Piga sasa kwa ajili ya kupata  NEMBO  kali zaidi
  Kutoka 
MNYLINGA PICHA STUDIO 



Usisahau kutembelea FACEBOOK GROUP AMBAYO IMEA

NZISHWA 
 
02-01-2022

    PIGA CHINI 
KUNDI JIPYA 
           2  0  2  2


https://www.facebook.com/groups/253151803449631/

ELIUD NOVAT MNYILINGA 
Hii hapa ni fomu niliyo .jalibu kuiunda siku moja itakuja kuwa kweli


2022MPSXTRA


Maoni

Machapisho Maarufu